skip to main
|
skip to sidebar
global
Pages
Home
Tuesday, June 3, 2014
PIGO KUBWA COLOMBIA, FALCAO KUIKOSA `MBILINGE MBILINGE` YA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
MASHABIKI wa Colombia wamepagawa na taarifa kwamba nyota wao Radamel Falcao atazikosa fainali za kombe la dunia za mwaka huu nchini Brazil.
Kocha wa timu ya Colombia, Jose Pekerman jana jumatatu alitangaza kikosi chake katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Buenos Aires, nchini Argentina.
Falcao alipata majeruhi kubwa ya goti akiwa katika majukumu ya kuitumikia klabu yake ya Monaco mwezi januari, na ameachwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 ambapo kocha wake amesema hatakuwa tayari.
Kusoma zaidi bofya
www.bkmtata.blogspot.com
Newer Post
Older Post
Home
Popular Posts
MGOGORO:-MUFTI WA TANZANIA SHAABAN SIMBA AONGOZA BAADHI YA WAISLAM KUVUNJA MILANGO YA MSIKITI MKUU WA IJUMAA TABORA
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu msikiti mkuu wa Ijumaa Gongoni mjini Tabora wakati wa tukio la kuvunjwa milango ya msikiti...
MUIGIZAJI AJIKATA UUME AKITAKA KUWA MWANAUME
Msanii Mrusi, Evgniv Sapaev, aliyecheza katika filamu mashuhuri ya ‘Burnt by the Sun 2′, alipoteza uume wake baada ya kuji...
BREAKING NEWS: MKE WA ALLY CHOKI AFARIKI DUNIA
MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa m...
KINANA : VIONGOZI WA KIJIJI WAACHE KUUZA ARDHI BILA KUWASHIRIKISHA WANANCHI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na wamasai katika kijiji cha Ayamango (Gallapo) ambapo alikuwa na kazi ya kufu...
DR MOHAMED GHALIB BILALI AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BODI YA WAKANDARASI NCHINI
Baadhi ya wakandarasi wakila kiapo cha utiifu wakati wa mkutano mkuu wa Bodi ya wakandarasi nchini uliofanyika jijini Dar es Salaam...
Jeshi la Polisi Latangaza kuanza Uchunguzi Wa Kina dhidi ya Freeman Mbowe , Dk. Slaa , Lissu, Mnyika na Godbless Lema Wanaotuhumiwa kwa Mauaji na Vitendo vya kigaidi
JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
“Hakuna kifungu cha sheria kinachosema Rais anaweza kulivunja Bunge hilo, bali linaweza kuahirishwa. Nami ningeshauri lia...
UPENDO KWA MAMA NI NOVEMBER 02 SHEKH AMR ABED; SI YA KUKOSA…
KUWA WA KWANZA KUTAZAMA MDOGOMDOGO-VIDEO KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ (TESER)HAPA
Kwa Maranyingine tena mkali wa Bongo fleva hapa Bongo siku ya kesho anaachia Video zake zote mbili Mdogomdogo na kichupa alichofanya n...
UTABIRI WA ASKOFU KAKOBE UNAENDELEA KUTIMIA, IKULU NA MWANASHERIA WA SERIKALI WATOFAUTIANA
Ni mazingaombwe yanayoweza kupatikana tanzania pekee duniani. ‘ikulu inatoa tamko lao kuwa bunge litaendelea na katiba lazi...
[URL=http://info.flagcounter.com/UhIW][IMG]http://s03.flagcounter.com/count/UhIW/bg_FFFFFF/txt_000000/border_CCCCCC/columns_2/maxflags_12/viewers_0/labels_0/pageviews_0/flags_0/[/IMG][/URL]
flags.es
www.playonlineroulettex.com
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
silver lotto system review
Live Traffic Stats
Ads 468x60px
Followers
PGA Head Teaching Professional
Unknown
View my complete profile
Powered by
Blogger
.
PIGO KUBWA COLOMBIA, FALCAO KUIKOSA `MBILINGE MBILINGE` YA KOMBE LA DUNIA BRAZIL
MASHABIKI wa Colombia wamepagawa na taarifa kwamba nyota wao Radamel Falcao atazikosa fainali za kombe la dunia za mwaka huu nchini Brazil.
Kocha wa timu ya Colombia, Jose Pekerman jana jumatatu alitangaza kikosi chake katika mkutano wake na waandishi wa habari mjini Buenos Aires, nchini Argentina.
Falcao alipata majeruhi kubwa ya goti akiwa katika majukumu ya kuitumikia klabu yake ya Monaco mwezi januari, na ameachwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 23 ambapo kocha wake amesema hatakuwa tayari.
Kusoma zaidi bofya
www.bkmtata.blogspot.com
Newer Post
Older Post
Home