skip to main
|
skip to sidebar
global
Pages
Home
Monday, June 2, 2014
MTOTO WA MIAKA MITATU AUA MDOGO WAKE KWA KUMTWANGA RISASI
Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.
Mtoto huyo alimuua mwenzake baada ya kukuta mfuko wa silaha hiyo katika chumba cha jirani na kwenda nao katika chumba kingine kabla ya kumfyatulia risasi mdogo wake.
Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Arizona, Don Engler alisema uchunguzi wa idara yake kuhusu tukio hilo lililotokea Jumanne wiki hii, utachukua wiki moja, huku matokeo yakipelekwa katika ofisi ya mwanasheria iwapo kukiwa na mashtaka yoyote.
“Kitakachoangaliwa zaidi ni kuhusu utunzaji silaha kwa usalama zaidi na namna watoto hao walivyoweza kuibeba silaha hiyo ikilinganishwa na uzito wake, sisi tunaendelea na uchunguzi wetu,” Don aliliambia Shirika la Habari la Associated Press.
Alisema kuwa ni mapema kueleza mapendekezo ya idara yake, lakini anapisha uchunguzi ufanye kazi yake.
Wavulana hao pamoja na mama yao walikuwa wamemtembelea jirani yao mwenye umri wa miaka 78 katika jengo analoishi, kabla ya mlio wa risasi kusikika kwenye chumba cha kulala cha mzee huyo. Mtoto aliyempiga mwenzake risasi alikutwa akiwa ameshikilia bastola hiyo, huku akiendelea kushangaa kilichotokea
Newer Post
Older Post
Home
Popular Posts
MUIGIZAJI AJIKATA UUME AKITAKA KUWA MWANAUME
Msanii Mrusi, Evgniv Sapaev, aliyecheza katika filamu mashuhuri ya ‘Burnt by the Sun 2′, alipoteza uume wake baada ya kuji...
UPENDO KWA MAMA NI NOVEMBER 02 SHEKH AMR ABED; SI YA KUKOSA…
MGOGORO:-MUFTI WA TANZANIA SHAABAN SIMBA AONGOZA BAADHI YA WAISLAM KUVUNJA MILANGO YA MSIKITI MKUU WA IJUMAA TABORA
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu msikiti mkuu wa Ijumaa Gongoni mjini Tabora wakati wa tukio la kuvunjwa milango ya msikiti...
BREAKING NEWS: MKE WA ALLY CHOKI AFARIKI DUNIA
MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa m...
KINANA : VIONGOZI WA KIJIJI WAACHE KUUZA ARDHI BILA KUWASHIRIKISHA WANANCHI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na wamasai katika kijiji cha Ayamango (Gallapo) ambapo alikuwa na kazi ya kufu...
MCHUNGAJI ALIYEHARIBIWA SURA KWA TINDIKALI, SASA AENDELEA VYEMA
Mchungaji Umar Umulinde wa Uganda akiwa hospitalini. Hizi ni baadhi ya p...
DR MOHAMED GHALIB BILALI AFUNGUA MKUTANO MKUU WA BODI YA WAKANDARASI NCHINI
Baadhi ya wakandarasi wakila kiapo cha utiifu wakati wa mkutano mkuu wa Bodi ya wakandarasi nchini uliofanyika jijini Dar es Salaam...
Jeshi la Polisi Latangaza kuanza Uchunguzi Wa Kina dhidi ya Freeman Mbowe , Dk. Slaa , Lissu, Mnyika na Godbless Lema Wanaotuhumiwa kwa Mauaji na Vitendo vya kigaidi
JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
“Hakuna kifungu cha sheria kinachosema Rais anaweza kulivunja Bunge hilo, bali linaweza kuahirishwa. Nami ningeshauri lia...
HABARI: WANAFUNZI WAWILI WAUAWA KWENYE UVAMIZI VYUO VIKUU
Matukio matatu ya uvamizi katika makazi ya wanafunzi wa vyuo vikuu kati ya mwaka jana na mwaka juzi, yamesababisha vifo vya wanafunz...
[URL=http://info.flagcounter.com/UhIW][IMG]http://s03.flagcounter.com/count/UhIW/bg_FFFFFF/txt_000000/border_CCCCCC/columns_2/maxflags_12/viewers_0/labels_0/pageviews_0/flags_0/[/IMG][/URL]
flags.es
www.playonlineroulettex.com
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
silver lotto system review
Live Traffic Stats
Ads 468x60px
Followers
PGA Head Teaching Professional
Unknown
View my complete profile
Powered by
Blogger
.
MTOTO WA MIAKA MITATU AUA MDOGO WAKE KWA KUMTWANGA RISASI
Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.
Mtoto huyo alimuua mwenzake baada ya kukuta mfuko wa silaha hiyo katika chumba cha jirani na kwenda nao katika chumba kingine kabla ya kumfyatulia risasi mdogo wake.
Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Arizona, Don Engler alisema uchunguzi wa idara yake kuhusu tukio hilo lililotokea Jumanne wiki hii, utachukua wiki moja, huku matokeo yakipelekwa katika ofisi ya mwanasheria iwapo kukiwa na mashtaka yoyote.
“Kitakachoangaliwa zaidi ni kuhusu utunzaji silaha kwa usalama zaidi na namna watoto hao walivyoweza kuibeba silaha hiyo ikilinganishwa na uzito wake, sisi tunaendelea na uchunguzi wetu,” Don aliliambia Shirika la Habari la Associated Press.
Alisema kuwa ni mapema kueleza mapendekezo ya idara yake, lakini anapisha uchunguzi ufanye kazi yake.
Wavulana hao pamoja na mama yao walikuwa wamemtembelea jirani yao mwenye umri wa miaka 78 katika jengo analoishi, kabla ya mlio wa risasi kusikika kwenye chumba cha kulala cha mzee huyo. Mtoto aliyempiga mwenzake risasi alikutwa akiwa ameshikilia bastola hiyo, huku akiendelea kushangaa kilichotokea
Newer Post
Older Post
Home