skip to main
|
skip to sidebar
global
Pages
Home
Monday, June 2, 2014
MTOTO WA MIAKA MITATU AUA MDOGO WAKE KWA KUMTWANGA RISASI
Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.
Mtoto huyo alimuua mwenzake baada ya kukuta mfuko wa silaha hiyo katika chumba cha jirani na kwenda nao katika chumba kingine kabla ya kumfyatulia risasi mdogo wake.
Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Arizona, Don Engler alisema uchunguzi wa idara yake kuhusu tukio hilo lililotokea Jumanne wiki hii, utachukua wiki moja, huku matokeo yakipelekwa katika ofisi ya mwanasheria iwapo kukiwa na mashtaka yoyote.
“Kitakachoangaliwa zaidi ni kuhusu utunzaji silaha kwa usalama zaidi na namna watoto hao walivyoweza kuibeba silaha hiyo ikilinganishwa na uzito wake, sisi tunaendelea na uchunguzi wetu,” Don aliliambia Shirika la Habari la Associated Press.
Alisema kuwa ni mapema kueleza mapendekezo ya idara yake, lakini anapisha uchunguzi ufanye kazi yake.
Wavulana hao pamoja na mama yao walikuwa wamemtembelea jirani yao mwenye umri wa miaka 78 katika jengo analoishi, kabla ya mlio wa risasi kusikika kwenye chumba cha kulala cha mzee huyo. Mtoto aliyempiga mwenzake risasi alikutwa akiwa ameshikilia bastola hiyo, huku akiendelea kushangaa kilichotokea
Newer Post
Older Post
Home
Popular Posts
MUIGIZAJI AJIKATA UUME AKITAKA KUWA MWANAUME
Msanii Mrusi, Evgniv Sapaev, aliyecheza katika filamu mashuhuri ya ‘Burnt by the Sun 2′, alipoteza uume wake baada ya kuji...
BREAKING NEWS: MKE WA ALLY CHOKI AFARIKI DUNIA
MKURUGENZI wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amepata pigo la kuondokewa na mke wake, Shuea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa m...
Majibu ya Mbunge Salvatory Machemli kuhusu picha za utupu zilizosambazwa zenye sura yake.
Siku chache zilizopita kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii zilisambazwa picha mbalimbali za Wabunge wa Bunge la Tanzania zikiony...
MGOGORO:-MUFTI WA TANZANIA SHAABAN SIMBA AONGOZA BAADHI YA WAISLAM KUVUNJA MILANGO YA MSIKITI MKUU WA IJUMAA TABORA
Baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu msikiti mkuu wa Ijumaa Gongoni mjini Tabora wakati wa tukio la kuvunjwa milango ya msikiti...
WANAHARAKATI TANZANIA WAWALILI WASICHANA WALIOTEKWA NA BOKO HARAMU WAAMUA KUFANYA MAANDAMANO....
Wasichana wakiwa na mabango kudai kurudishwa kwa wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram maandamano yakielekea viwa...
Jeshi la Polisi Latangaza kuanza Uchunguzi Wa Kina dhidi ya Freeman Mbowe , Dk. Slaa , Lissu, Mnyika na Godbless Lema Wanaotuhumiwa kwa Mauaji na Vitendo vya kigaidi
JESHI la Polisi limetangaza kuanzisha uchunguzi wa kina dhidi ya viongozi wa kitaifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
“Hakuna kifungu cha sheria kinachosema Rais anaweza kulivunja Bunge hilo, bali linaweza kuahirishwa. Nami ningeshauri lia...
NYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG'AA BAADA YA KUZINDUA HELKOPTA YA KANISA LA GWAJIMA JIJINI DARESALAAM
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward...
BINTI WA MIAKA 16 YUPO HOI HOSPITALINI AKIUGUZA MAJERAHA KICHWANI BAADA YA KUNG'ATWA NA MWAJIRI WAKE
Vitendo vya unyanyasaji wa mabinti wa kazi majumbani vimeendelea kuripotiwa jijini Dar es Salaam baada ya binti mwingine Melina Mat...
KINANA : VIONGOZI WA KIJIJI WAACHE KUUZA ARDHI BILA KUWASHIRIKISHA WANANCHI
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokelewa na wamasai katika kijiji cha Ayamango (Gallapo) ambapo alikuwa na kazi ya kufu...
[URL=http://info.flagcounter.com/UhIW][IMG]http://s03.flagcounter.com/count/UhIW/bg_FFFFFF/txt_000000/border_CCCCCC/columns_2/maxflags_12/viewers_0/labels_0/pageviews_0/flags_0/[/IMG][/URL]
flags.es
www.playonlineroulettex.com
The following text will not be seen after you upload your website, please keep it in order to retain your counter functionality
silver lotto system review
Live Traffic Stats
Ads 468x60px
Followers
PGA Head Teaching Professional
Unknown
View my complete profile
Powered by
Blogger
.
MTOTO WA MIAKA MITATU AUA MDOGO WAKE KWA KUMTWANGA RISASI
Payson Ariz, mtoto wa kiume wa miaka mitatu amemuua mdogo wake wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu kwa kumpiga risasi.
Mtoto huyo alimuua mwenzake baada ya kukuta mfuko wa silaha hiyo katika chumba cha jirani na kwenda nao katika chumba kingine kabla ya kumfyatulia risasi mdogo wake.
Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Arizona, Don Engler alisema uchunguzi wa idara yake kuhusu tukio hilo lililotokea Jumanne wiki hii, utachukua wiki moja, huku matokeo yakipelekwa katika ofisi ya mwanasheria iwapo kukiwa na mashtaka yoyote.
“Kitakachoangaliwa zaidi ni kuhusu utunzaji silaha kwa usalama zaidi na namna watoto hao walivyoweza kuibeba silaha hiyo ikilinganishwa na uzito wake, sisi tunaendelea na uchunguzi wetu,” Don aliliambia Shirika la Habari la Associated Press.
Alisema kuwa ni mapema kueleza mapendekezo ya idara yake, lakini anapisha uchunguzi ufanye kazi yake.
Wavulana hao pamoja na mama yao walikuwa wamemtembelea jirani yao mwenye umri wa miaka 78 katika jengo analoishi, kabla ya mlio wa risasi kusikika kwenye chumba cha kulala cha mzee huyo. Mtoto aliyempiga mwenzake risasi alikutwa akiwa ameshikilia bastola hiyo, huku akiendelea kushangaa kilichotokea
Newer Post
Older Post
Home